Jeremiah 6:4-5


4 a“Jiandaeni kwa vita dhidi yake!
Inukeni tumshambulie mchana!
Lakini, ole wetu, mchana unaisha,
na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
5Kwa hiyo inukeni, tufanye mashambulizi usiku,
na kuharibu ngome zake!”
Copyright information for SwhNEN